Friday, August 4, 2017

TAJIRI RICHIE NORTON YAMKUTA MAZITO,MAOMBI YENU

Leave a Comment
Mwandishi maarufu wa kitabu maarufu cha "power of starting something stupid" na anayeongoza kwa Download ndani ya Amazon "Resumes are dead and what to do about it" na baba wa watoto watano (Mmoja alifariki akiwa na wiki kumi akiumwa dondakoo) yamekuta mazito baada ya mtoto wake wa miaka 10(jina halijajulikana) kugongwa vibaya na gari aina ya SUV.

Taarifa zinaonyesha mpka sasa mtoto huyo yupo katika chumba maalumu(ICU) akiendelea na matibabu.Baba yake,mr Norton amesema haya kwenye akaunti yake ya Linkedin.

Kama umeipenda,Tumia sekunde 5 kuishare na kukomenti

0 comments:

Post a Comment